Cristiano Ronaldo, Lionel Messi, Luis Suarez Up for UEFA's Best Player in Europe
Barcelona's Lionel Messi and Luis Suares
and Real Madrid's Cristiano Ronaldo have been nominated for the 2014-15
UEFA Best Player in Europe Award, with the winner of the award to be
announced on Thursday, August 27, per
UEFA.com
Mshambuliaji kutoka Uruguay, anayeichezea Barcelona, Luis Suarez,
ametajwa katika orodha ya wachezaji watatu wanaowania tuzo ya UEFA ya
mchezaji bora wa Ulaya. Suarez anaungana na mshambuliaji mwenzake wa
Barcelona Lionel Messi na vilevile katika orodha hiyo yuko hasimu wake
Messi, Cristiano Ronaldo. Messi na Ronaldo walifunga mabao 77. UEFA
wamesema wachezaji hawa watatu walipata kura nyingi zilizopigwa na
waandishi wa habari kutoka katika orodha ya wachezaji kumi. Waandishi
hao wa habari wapatao 54 ndio watamchagua mshindi wa tuzo hii ya mwaka
2014-15, tarehe 27 Agosti mjini Monaco. Siku hiyo pia ni ya droo ya
Klabu Bingwa Ulaya.
Na tuonane hiyo tarehe 27 August, 2015 tujue nani mkali wao.
Si vibaya kupata mtazamo wako, kura yako unaitupa kwa nani mdau ...!?
No comments:
Post a Comment