MANCHESTER UNITED: TUTASHINDA LEO DHIDI YA CLUB BRUGGE!
Leo usiku michuano ya UEFA Champion League inaendelea tena huku ikutanisha miamba miwili ya soka barani humo, Manchester United ya Uingereza na Club Brugge kutoka nchini Ubelgiji.
Ikumbukwe mechi ya awali iliyopigwa katika uwanja wa Old Trafford jijini Manchester,
vijana wa Luis Van Gaal (Manchester United) walishinda 3-1.
Una uhahisi timu ya United itafuzu hatua ya michuano ya Champions League?
Tabiri matokeo ya mchezo huu unaochezwa usiku wa leo huko Ubelgiji.
No comments:
Post a Comment