SHAMBA LA BIBI

SHAMBA LA BIBI

Friday, 14 August 2015

HAYAWI HAYAWI YAMEKUWA, IRENE UWOYA APETA VITI MAALUM

Mwigizaji Iren Uwoya amefanikiwa kushinda kwa kishindo na ‘kuukwaa’ Ubunge viti maalum Kupitia vijana, katika hatua zote mbili.

Iren alishindwa kuficha furaha yake mbele ya kamera ya Timesfm.co.tz, kwa kueleza kuwa dalili zilionekana tangu Tabora baada ya kupigiwa kura kwa wingi.

“Kuna mtu tulifungana lakini asante mungu nmefanikiwa kupita kamati kuu, so yah nmefanikiwa” alisema Iren.

Katika ‘line’ nyingine, wasanii kadhaa wamejitokeza kumpongeza Uwoya wakidai ni hatua kubwa kwa sanaa yao.


No comments:

Post a Comment