Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa (kushoto) akilipa
nauli kwa kondakta wa daladala iliyokuwa ikitoka Gongo la Mboto kuelekea
Chanika alipofanya ziara ya kusikiliza kero zinazowakabili watumiaji wa
usafiri wa umma, madereva na makondakta, Dar es Salaam jana. |
No comments:
Post a Comment