SHAMBA LA BIBI

SHAMBA LA BIBI

Monday, 24 August 2015

LOWASSA AIBUA STAILI MPYA YA KAMPENI

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa (kushoto) akilipa nauli kwa kondakta wa daladala iliyokuwa ikitoka Gongo la Mboto kuelekea Chanika alipofanya ziara ya kusikiliza kero zinazowakabili watumiaji wa usafiri wa umma, madereva na makondakta, Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment