SHAMBA LA BIBI

SHAMBA LA BIBI

Tuesday, 25 August 2015

EDWARD NGOYAI LOWASSA ATOA KAULI HII MUDA HUU. AZIDI KUWAPA WAKATI MGUMU WAPINZANI WAKE... ISIKIE HAPA

"Uongozi usioyafahamu matatizo ya Watanzania kiundani hauna uhalali wa kuelezea suluhisho la matatizo hayo. 

 

Tumechoshwa na aina ya uongozi wa kuletewa ripoti maofisini, na Leo tumeendeleza ziara ya kuwatembelea wananchi na kusikia kero zao Za msingi. 

 

Tukutane Jangwani Jumamosi hii ya tarehe 28.8.2015 tuweze kuwaeleza namna tulivyojipanga kufanya ukombozi wa kiuchumi. Tuko Tayari kwa mabadiliko"

-Edward Ngoyai Lowassa

 



 


No comments:

Post a Comment