SHAMBA LA BIBI

SHAMBA LA BIBI

Thursday, 20 August 2015

CCM IMEIPUA ILANI YAKE YA UCHAGUZI KWA MWAKA 2015 - 2010


Chama cha CCM kimeipua ilani yake ya uchaguzi kwa mwaka 2015- 2020, ikitaja mambo makuu manne ya kushughulikia kwa miaka mitano ijayo ambayo ni kupambana na umaskini, ajira kwa vijana, ulinzi na usalama na kupambana na rushwa kwa kuanzisha mahakama maalum ya makosa hayo. Source MCL

 

Unaizungumziaje ilani hii ya CCM na vipaumbele vya mambo iliyopanga kushughulikia?

No comments:

Post a Comment