HAYAWI HAYAWI HATIMAYE YAMEKUWA..., KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU TANZANIA KUANZA RASMI KESHO (22/08/2015)
Hadi sasa wagombea urais kupitia vyama vya CHADEMA, CCM, TLP, ADC,
CHAUMA, UPDP wamerejesha fomu zao katika ofisi za Tume ya uchaguzi na
wamekidhi viwango vyote vilivyotakiwa na Tume ya uchaguzi na
vimeruhusiwa kuanza rasmi kampeni kuanzia siku ya kesho.
Chama
cha ACT Wazalendo nao tayari wamefika ofisi za NEC na kinasubiri muda wa
kuingia ndani na kuangaliwa kama kimetimiza viwango vinavyotakiwa na
Tume ya uchaguzi.
No comments:
Post a Comment