Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Abdallah Bulembo (kulia)
akikumbatiana na Said Nkumba baada ya kurejea katika chama hicho siku
chache baada ya kukihama na kujiunga na Chadema walipohudhuria mkutano
wa uzinduzi wa kampeni za mgombea urais wa CCM, uliofanyika katika
Viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam jana. Picha na Edwin Mjwahuzi |
No comments:
Post a Comment