![]() |
Parfait Onanga-Anyanga |
Ban Ki-moon pia ameongeza kutilia mkazo sera zake za kutovumilia makosa yanayotuhumiwa vikosi vya majeshi ya Umoja wa Mataifa, hususan kashfa za ngono, wakati ambapo shutuma za uhalifu wa kijinsia dhidi ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa zimekua nyingi miaka ya hivi karibuni.
![]() |
Babacar Gaye (aliyetimuliwa) |
No comments:
Post a Comment