![]() |
Mwanariadha Oscar pistorius |
Waziri wa sheria nchini Afrika Kusini amepinga uamuzi wa kuachiliwa kwa mwanariadha Oscar Pistorius.
Michael Masutha amasema kuwa uamuzi wa kumuachilia mwanariadha huyo umechukuliwa mapema.
Pistorius amekaa gerezani kwa muda wa miezi kumi baada ya kumuua kwa
kumpiga risasi mpenziwe Reeva Steenkamp na alitarajiwa kuachiliwa ili
atumikie kifungo chake cha nyumami siku ya Ijumaa.
![]() |
Oscar Pistorius na Reeva Steenkamp |
No comments:
Post a Comment