SHAMBA LA BIBI

SHAMBA LA BIBI

Friday, 14 August 2015

NAPE AKANUSHA SUALA LA MAGUFULI KUGAWA LAPTOP KWA WALIMU

Katibu itikadi na uenezi CCM, Nape Nnauye

Nape Nnauye katibu itikadi na uenezi CCM amekanusha habari ya kuwa Ndugu John Magufuli ameahidi kuwapatia Walimu laptop nchi nzima kama atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania. Nape amesema kuwa Ndugu Magufuli hajawahi kuzungumzia suala la laptop hadharani hivyo basi, taarifa hizo sio za kweli.

Source: # EATV fb pg

No comments:

Post a Comment