PATA MATOKEA YOTE YA MECHI MUHIMU ZA EPL ZILIZOPIGWA JANA. INGIA HAPA...
Wakati Chelsea wakikabwa koo..., Arsenal yatembeza kichapo cha mbwa mwitu ugenini..!
Manchester United nayo ilimchinja Sunderland bila huruma...!
Manchester City nae aliangukia pua baada ya kukubali kichapo cha 4-1 kutoka kwa Tottenham Hotspur
No comments:
Post a Comment