GWAJIMA KUJIBU MAPIGO YA DR. SLAA KESHO DAR...! SOMA HABARI HII HAPA...
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.
Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima, Josephat Gwajima kesho anatarajia kujibu mapigo kuhusu tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema Dr. Willibrod Slaa ambaye hivi karibuni alimweleza kuwa ni mshenga wa Edward Lowassa kwa viongozi wa Chadema.
No comments:
Post a Comment