SHAMBA LA BIBI

SHAMBA LA BIBI

Friday, 17 February 2017

NYUMBANI NI NYUMBANI...!



Mwanamuziki maarufu nchini Snura Mushi alipokwenda kusalimia kwenye ofisi za BASATA leo hii. Mara ya mwisho kuonekana kwenye ofisi hizo ilikuwa ni kipindi kile alichotunga wimbo wake wa "Chura" ambao video yake ilileta ukakasi kwenye jamii.

 

 

Nini maoni yako...!?